Sunday, 8 September 2013

Muumini akishukuru baada ya mtoto wake kuwekwa wakfu ndani ya KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY

                                                   
 


                                                                     





                                                          






DHUMUNI LA HUDUMA: Mungu alimpa mtumishi wake Joshua H Mbeke upako wa kufungua wale wote waliofungwa katika vifuno mbalimbali kama laana, mafundo, uchawi, dhambi za asili, mizingiro, minyororo na kila aina ya vifungo vinavyotesa wanadamu katika hii dunia (Isaya 51:14)

KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY at KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY - 6 days ago
MATARAJIO YA HUDUMA Huduma ya KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY inatarajia kuwa matawi dunia nzima ili tuweze kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma ya uponyaji dunia nzima na kupambana na mateso ya shetani kwa wana wa Mungu kupitia mitandao na matawi tutakayofungua katika nchi mbalimbali dunian

Pastor Joshua H Mbeke

KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY at KERITH WORLD DELIVERANCE MINISTRY - 6 days ago
KERITH WORLD DELIVERANCE MINISRTY ni huduma ya kiroho inayoongozwa na Pastor Joshua H Mbeke yenye kauli mbiu "SAA YA KUFUNGULIWA KWAKO IMEFIKA"

Victor Aaron akiwa na waimbaji wa KIJITO KWAYA kabla ya kuanza kumsifu BWANA katika ibada ya Jumapili